Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Alhad Mussa Salum amesema jumuiya hiyo inapinga kauli ya maseneta wa Bunge la Marekani waliodai Tanzania si salama na kuna udini ...
WACHINJAJI wanaokabiliwa na tatizo la ugonjwa wa homa ya ini wamepigwa marufuku kushiriki shughuli za uchinjaji Zanzibar kuelekea sikukuu ya Eid al-Adha, ambako zaidi ya wanyama 5,000 wanatarajiwa ...
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya kutokea magonjwa kutokana na hali ya baridi na upepo inayotarajiwa katika msimu wa kipupwe kuanzia mwezi Juni mpaka Agosti mwaka huu.