Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo, ameipongeza TANESCO kwa utayari wake wa kuhakikisha umeme unafika katika mradi wa ujenzi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa, unaotarajiwa kuongeza fursa za kiuchumi na ...
Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) imezindua rasmi ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa 220kV kutoka Masasi hadi Mahumbika. Akizungumza Mei ...
Kati ya kesi 197 za makosa mbalimbali yaliyokamatwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani katika kipindi cha mwezi Machi hadi April, 130 watuhumiwa wake wametiwa hatiani na kuhukumiwa. Hukumu za vifungo zi ...
WATUMISHI 10 kati ya 43 wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe, waliokuwa wakielekea wilayani Makete katika wamenusurika kufa baada ya gari namba T985 DHH aina ya Fuso Bus kuacha njia ...
INTERNATIONAL birdwatching enthusiasts from South Africa and the United States have called upon the tourism authorities to accelerate strategic investments to expand birdwatching tourism. This appeal ...
Serikali ya Tanzania imetenga zaidi ya Sh. bilioni 3.5 kwa ajili ya kuboresha meli ya MV Songea inayofanya safari kati ya bandari ya Kiwira mkoani Mbeya na Mbamba Bay mkoani Ruvuma kupitia Ziwa Nyasa.
Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA) imewakutanisha wadau kutoka sekta ya usafirishaji, utangazaji, kumbi za starehe, hoteli, na maeneo mengine ya biashara ili kujadiliana kwa pamoja namna bora ya ...
Serikali imepanga kuanza kutumia teknolojia ya kisasa kufuatilia uzalishaji na biashara ya madini ili kudhibiti utoroshaji na kuongeza mapato ya ndani. Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Madini kwa ...
Wananchi wa Manispaa ya Morogoro wametakiwa kuendelea kutumia maji ya Bwawa la Mindu bila hofu, baada ya mamlaka husika kuthibitisha kuwa ubora wa maji haujaathirika kufuatia ajali ya lori lililomwaga ...
Takribani Sh. bilioni 6.2 za kodi ya ardhi zinadaiwa kwa taasisi za umma, binafsi na wananchi mkoani Kigoma, hali inayokwamisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Akitoa ufafanuzi, Waziri wa Ardhi, ...