VYAMA vya upinzani nchini Burundi ikiwemo CNL, UPRONA, CODEBU, DCP, na FRODEBU vimeonyesha nia ya kususia uchaguzi wa urais vikitaka kufanyika kwa mazungumzo ya kitaifa kwanza kama sharti la uchaguzi ...
Kati ya kesi 197 za makosa mbalimbali yaliyokamatwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Pwani katika kipindi cha mwezi Machi hadi April, 130 watuhumiwa wake wametiwa hatiani na kuhukumiwa. Hukumu za vifungo zi ...
Wananchi wa Dar es Salaam wanatarajiwa kushuhudia uzinduzi wa kampeni maalum ya kitaifa ya Muungano Caravan yenye lengo la kutoa elimu kuhusu umuhimu wa Muungano wa Tanzania, kuhamasisha uzalendo, msh ...
Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) imezindua rasmi ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme wa msongo wa 220kV kutoka Masasi hadi Mahumbika. Akizungumza Mei ...
Mkuu wa Wilaya ya Kilwa, Mohamed Nyundo, ameipongeza TANESCO kwa utayari wake wa kuhakikisha umeme unafika katika mradi wa ujenzi wa Bandari ya Uvuvi Kilwa, unaotarajiwa kuongeza fursa za kiuchumi na ...
Ruto: Biashara Tanzania, Kenya yafikia Sh. trilioni 2.2 2025. Biashara. 5d ago. By Mwandishi Wetu , Nipashe. Published at 01:39 PM May 05 2026 ...
Ripoti ya Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 itawekwa hadharani leo. Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani ...
Askari Polisi namba F 6746, Sajenti Sufian, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kivukoni kuwa hakumpiga Nelson Jacob (32) alipokuwa akimchukua maelezo ya onyo kuhusiana na tuhuma za kughushi nyaraka za ...
MKUU wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezuia uhamisho wa walimu wa msingi na sekondari kufanyika katika wilaya zote mkoani kwake. Pia amewaagiza wakurugenzi wa halmashauri kuwahamisha mjini walimu ...
PRESIDENT Samia Suluhu Hassan has tasked Chief Secretary Dr Moses Kusiluka with directly overseeing the implementation of recommendations issued by three oversight institutions, namely the Controller ...
Wakati idadi ya kunguru ikiendelea kuongezeka kwa kasi visiwani Zanzibar na kuanza kuwa tishio kwa mazingira, afya za wananchi na shughuli za kiuchumi, mamlaka zimeanza kuchukua hatua madhubuti ...